Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,641
ukiona mwanamke anapesa kuliko mwanamme na ana mnyanyasa mme wake tafuta mchawi ni nani lakini kama mwanaume atasimamia jukumu lake la uanaume katika familia, kumuheshimu mke wake na watoto mwanamke hata akiwa na hela kama Bill Gate atamuhemishu. lakini kama ulikuwa unamnyanyasa na kumtupia vijimaneno nyumbani huonekani ukirudi usiku ni matusi, hamkai pamoja kudiscuss family matters am telling u, huyo mwanamke akiwa na pesa atakunyanyasa mpk uone rangi zote. otherwise nimeona nyumba nyingi tu ikiwemo ya wazazi wangu mama ana kipato kuliko baba lakini heshima iko mbele kwa kuwa mwanamme ana play part yake. sio mtoto anakuomba hela ya nguo unamjibu nenda kwa mama yaani hapo hata mtoto atakudharau. lakini kama unamawasiliano vizuri na mkeo na huna kipato hata mtoto akiomba hela utamwambia subiri tudiscuss mama yako then tutakupa. hayo ni mawazo yangu
kuna ka ukweli ndani yake