"we ndio mwanaume bana, mwanamke hawezi kukuzidi kipato". Hizi kauli zao wanazoambiana zitawaponza wengi. Nawahurumia sana wanaozichukua kama zilivo na kuzimeza nzima nzima, ndo hao sasa! Kuweni reasonable bana sio mnaishi tu kwa mazoea, things are changing sio kama zamani ambapo tulizuiliwa hata kumiliki ardhi!! Huyo dada atumie ndugu/rafiki yeyote wa huyo "mkaka muoga" kupata ramani yake na ratiba then amuibukie, sometimes unajisacrifice kwa ajili ya ukipendacho lol!!! Ila kama ni wewe cantie nambie nikusindikize........just a joke, lol.......hahahahahaaaa