Vipi, lini mtaanza kurun away from wanawake masoldier au teyari mshaanza??
Dah!hapa kila mtu na akili yake yakimkuta anapambana nayo ukishindwa nduki kali lol!
Vipi, lini mtaanza kurun away from wanawake masoldier au teyari mshaanza??
Yale yaleee......usiongee kidogo ushapachikwa cheo! Wewe unanifahamu???
Penzi halina uhusiano wowote ule na Pesa.
Jamaa hajampenda huyo mdada.
Mdada achape lapa, atapata anayempenda.:smash:
Rafiki ninakusalimu.....hope wewe na your sweet ni wazima. Nimewamiss sana...
Habari yako my Big Shem,
Nina ruhusa zote mkuu,na wala siwezi pigwa kbs,na mume niapata tu,coz my dia kloro keshatangaza nia lol!