Msaada tafadhali,Kipato cha binti cha mtoa nduki jamaa..!

Penzi halina uhusiano wowote ule na Pesa.

Jamaa hajampenda huyo mdada.

Mdada achape lapa, atapata anayempenda.:smash:
 

Tunawafahamu hao wanao pinga hapo juu hawajakutana nayo haya.
Mwanamke wa kibongo akipata ****** yanalia mbata heshima kwa mmewe inashuka kabisa.
 
Huyo wa zamani kweli,...
zamani ulikua unao kwa pale unapokua fiti kwa kipato kama mwanaume,...
siku hizi unaangalia mwanamke alotimia mfukoni,....

Kapoteza bahati,but amani ya moyo ndio dereva mwema.Hongera zake.
 
huyo binti alimdanganya mwenzie. dada zetu jaribuni kuwa wakweli.hadi amuulize anaishi na nani ujue kaona suruali humo ndani. tuseme alikua hajamwambia mda wote kwamba anaishi peke yake? hayo ya kusema amekimbia sababu ya kipato cha mwanamke siyo kweli. hayo ya kipato ni maneno ya mwanamke ili kupoteza maana na kujiondoa katika lawama. madada kuweni waminifu. over
 
Kweli ubinadamu ni kazi, ukiwanazo wanakukimbia usipokuwa nazo wanakupa majina kibao, sasa sijui tufanyaje
 

Kuwa kichwa maana yake ni kufanya maamuzi yote kwa kujiamini,hata kama huna kazi na mkeo analipwa mil 20 kwa mwezi,sasa naendelea kumkubali babu Aspirin na uzi wake!Hebu kausome!
 
Malezi ya mfumo dume yana nguvu sana, ogopa sana mwanaume aliyelelewa na kuaminishwa kwamba ni mwanaume pekee mwenye mamlaka ya kumiliki mali achilia mbali elimu............................ Ndyoko ni mfano mzuri sana wa jambo hili................LOL
 
Malezi ya mfumo dume yana nguvu sana, ogopa sana mwanaume aliyelelewa na kuaminishwa kwamba ni mwanaume pekee mwenye mamlaka ya kumiliki mali achilia mbali elimu............................ Ndyoko ni mfano mzuri sana wa jambo hili................LOL

Do u belive mfumo dume exist,or is an excuse kwa wanawake wasiojiamini?
 
Penzi halina uhusiano wowote ule na Pesa.

Jamaa hajampenda huyo mdada.

Mdada achape lapa, atapata anayempenda.:smash:
Kwanza shikamoo babu,
Yani inawezekana kbs,kipatp tu akimbie?
Asante babu kwa ushauri.
 
Malezi ya mfumo dume yana nguvu sana, ogopa sana mwanaume aliyelelewa na kuaminishwa kwamba ni mwanaume pekee mwenye mamlaka ya kumiliki mali achilia mbali elimu............................ Ndyoko ni mfano mzuri sana wa jambo hili................LOL
Unacho ongea ni kweli kabisa, Bora kasepa kuliko kukosa Amani ya moyo,
Maana ndo alivyo lelewa hivyo ndo maana simshangai jamaa
 
Tunawafahamu hao wanao pinga hapo juu hawajakutana nayo haya.
Mwanamke wa kibongo akipata ****** yanalia mbata heshima kwa mmewe inashuka kabisa.
Khaaaa,makubwa!
Kwa hiyo hata ww ikitokea mkeo akapandishwa cheo na maalawansi yakaongezeka na kupita kiapto chako utamwacha?
 
Mopuuzi kweli huyo, ana mawzo ya mwaka arobaini na mbili.....sidhani kama ana akili timamu kweli, ngoja nitafute tusi zuri maana mijtu ya nmana hii ndio inayoendeleza mfumo dume halafu haikawii kulalamika. Pumbafu kabisa
 
Huyo wa zamani kweli,...
zamani ulikua unao kwa pale unapokua fiti kwa kipato kama mwanaume,...
siku hizi unaangalia mwanamke alotimia mfukoni,....

Kapoteza bahati,but amani ya moyo ndio dereva mwema.Hongera zake.
Hata mie naona huyu wa zamani badala afurahie watasaidiana kimaisha yy anakimbia!
Asante mkuu kwa maoni.
 
Wala hakuona suruali,ishu ni kwamba baada ya kuona thaman za mle ndani hakuweza kuamin gafla kuwa ni uwezo wa yule binti,
Ndio maana akataka kuthibitisha kwa kuomba slip ya mshahara ili kulinganisha na vitu anavyona mle ndani,
Na alipopata uhakika ndio akaona binti kamuacha mbali na kuamua kukimbia!
 
Kweli ubinadamu ni kazi, ukiwanazo wanakukimbia usipokuwa nazo wanakupa majina kibao, sasa sijui tufanyaje
Mwenangu hawa viumbe sijui wanataka nn? mbona hawana jema jamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…