Msaada tafadhali: Kisaikolojia nahisi mimi kumtongoza mwanamke ni kama najishusha, na najidhalilisha.

Tatizo baada ya kuuza mechi unajiona bwege Sanaa
 
Na mimi nakujibu kutokana na heading yako........ ........... ..uko kwa babu kaju hapaja kuwasha kisawa sawa........maana pakiwasha hata chizi utapita naye bila tatizo lolote
 
Mda fulani unaona kama unapoteza heshima yako na kujidhalilisha.
 
Una nyota ya utajiri Endelea kupambana. K haijawahi kumwacha mtu salama
Hahaha. Hili ni kweli.
Nilikuwa nakula sehemu asubuhi leo, akaja mwana mmoja anauza mashuka, pembeni kulikuwa na kidada kimoja.

Jamaa akaanza kukisemesha kile kidada kwa sauti ya chini sana ambayo kwa kweli tulio mbali nae hatukumsikia. Kile kidem kikamjibu kwa sauti ya kipaza sauti "nilishakuambia wewe kamwe siwezi kukupa... Labda unipe mashuka matatu hata sahivi naenda kukuvulia".

mwamba niliona kawa mnyonge sana akasepa. Baada ya kama dakika 40 naona anatoka nacho pale hotelini upande wa vyumbani..

nilimuhurumia sana yule mwamba. Sasa sijui alikaachia shuka. Aise hizi K ni tabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…