Sor,hivi kabla hujamwoa hukuona kuwa ana matiti madogo? Kama yalikua hivyo ukaridhika ukaoa imekuaje sasa?
waswahili bwana! Badala ya kujibu na wewe unauliza na kuacha swali la mwenzio. Kama huna jibu si utulie tu!
Kuna wadudu fulani muda wote huwa wanazunguka kwenye maji yaliyotulia. Ukifanikiwa kumkamata msogeze kwenye chuchu za titi la mkeo. Yule mdudu atamuuma. Nasikia hapaumi sana. Fanya hivyo kwenye titi la pili. Baada ya wiki moja utaona mambo yanavyobadilika.
huyu mke uliozeshwa ndoa ya mkeka? au ulimchagua akiwa na mimba kwa hiyo hukujua maziwa yake yana kasoro? au umeonja nani...h kutoka nyumba ndogo?Wapendwa,
Mke wangu nimeishi nae kwa miaka tisa na Mungu ametujalia watoto watatu. Kinachoninyima raha ni udogo wa matiti ya mke wangu. Anapokuwa na mimba na anaponyonyessha huwa yanakuwa makubwa na yanapendeza sana. Lakini miezi michache baada ya kumwachisha mtoto huwa yanarudi kuwa madogo sana. Je, kuna njia ya asili au dawa isiyo na madhara ya kukuza matiti? Msaada tafadhali. Am serious!
hizi tiba za babu! Hata nyuki akiuma chuchu, ziwa litavimba sana tu sasa na nyuki anaweza kutumika?
Kabla ya kumuoa matiti yake yalikuwa na size gani ? Natumai ulimpenda wakati hana mimba wala hanyonyeshi.Wapendwa,
Mke wangu nimeishi nae kwa miaka tisa na Mungu ametujalia watoto watatu. Kinachoninyima raha ni udogo wa matiti ya mke wangu. Anapokuwa na mimba na anaponyonyessha huwa yanakuwa makubwa na yanapendeza sana. Lakini miezi michache baada ya kumwachisha mtoto huwa yanarudi kuwa madogo sana. Je, kuna njia ya asili au dawa isiyo na madhara ya kukuza matiti? Msaada tafadhali. Am serious!
Kuna wadudu fulani muda wote huwa wanazunguka kwenye maji yaliyotulia. Ukifanikiwa kumkamata msogeze kwenye chuchu za titi la mkeo. Yule mdudu atamuuma. Nasikia hapaumi sana. Fanya hivyo kwenye titi la pili. Baada ya wiki moja utaona mambo yanavyobadilika.