gracious86
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 437
- 54
Waswahili bwana! Badala ya kujibu na wewe unauliza na kuacha swali la mwenzio. Kama huna jibu si utulie tu!
si ndo hapoo! Tel them...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waswahili bwana! Badala ya kujibu na wewe unauliza na kuacha swali la mwenzio. Kama huna jibu si utulie tu!
Kuna wadudu fulani muda wote huwa wanazunguka kwenye maji yaliyotulia. Ukifanikiwa kumkamata msogeze kwenye chuchu za titi la mkeo. Yule mdudu atamuuma. Nasikia hapaumi sana. Fanya hivyo kwenye titi la pili. Baada ya wiki moja utaona mambo yanavyobadilika.
Wapendwa,
Mke wangu nimeishi nae kwa miaka tisa na Mungu ametujalia watoto watatu. Kinachoninyima raha ni udogo wa matiti ya mke wangu. Anapokuwa na mimba na anaponyonyessha huwa yanakuwa makubwa na yanapendeza sana. Lakini miezi michache baada ya kumwachisha mtoto huwa yanarudi kuwa madogo sana. Je, kuna njia ya asili au dawa isiyo na madhara ya kukuza matiti? Msaada tafadhali. Am serious!