Msaada tafadhali: Maumivu ya tumbo la chini

nyamlega

Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
38
Reaction score
6
Habari Jf doctors,

Naomba msaada,kila ifikapo baby days naumwa sana tumbo la chini ya kitovu upande wa kushoto na wa kulia,inakuwa kama mirija ina vidonda na kusababisha kiuno chote kuuma.

Na mara maumivu yanapopungua huko nashindwa kukaa maana nikikaa kunakuwa na kitu kinachoma kutoka sehemu ya haja kubwa kuja kwenye tumbo chini ya kitovu,ambacho hunipa maumivu makali pia.

Tafadhali nisaidieni nifanyeje maana nimeteseka sana na hospital hawaoni chochote,huwa wananipa dawa za maumivu tu.
 
Hilo ni Chango la Kizazi inaonyesha wewe hujazaa utakapo zaa tatizo lako litaondoka Jaribu kutumia dawa yangu hii Dawa ya Chango la tumbo Tumia kalkaariyat changanya na kamun Aswadi. Uipate dawa ya kalkariyati ya unga chota vijiko 2 Kisha chemsha kwa maji vikombe 3 kisha yakauke yabaki 2Kunywa kimoja asubuhi na kimoja usiku.
Fanya hivyo siku 11.Utapona


Mkuu Ibradehustler Naona umeniita , wakipona hawa tunaowapa Dawa haleti Feedback. Basi hata kutujibu Mkuu MziziMkavu ile Dawa yako uliyonipa imenisaidia ninashukuru hawasemi maneno hayo kwao ni Big Deal ndio walivyo Wa-Danganyika.
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…