Msaada Tafadhali: Mkewe Hajisikii!!!

siamini kuwa she and he wanaweza kulala more tha 1month bila tendo,,thats cant happen lazima kuna mushkel flani hivi...
Pia yawezekana ni psychological disorders, anaweza akawa anahusisha tendo la ndoa na matukio yasiyo mazuri huko zamani (utotoni?). Madaktari watamsaidia.
 
siamini kuwa she and he wanaweza kulala more tha 1month bila tendo,,thats cant happen lazima kuna mushkel flani hivi...
Ahahahahaaaah kwa kweli kuna tatizo tena kubwa. Bora ingejulikana labda kwa sababu zinazojulikana kama vile kumfumania mwenzake.....
 
Katavi..ebu wakutanisheni hao watu harak iwezekanavyo waongee jamani....!!!!
ASAP...Ebo, hilo jambo si la mchezo ati!
 
Katavi..ebu wakutanisheni hao watu harak iwezekanavyo waongee jamani....!!!!
ASAP...Ebo, hilo jambo si la mchezo ati!
Kweli kabisa Mentor inabidi hatua za haraka zichukuliwe ili kuondoa hili tatizo.
 
inashangaza kidogo ndoa ya miaka 4,jee umri wa huyo dada ni miaka mingapi?mara nyingi wanawake wakishaolewa kwa muda mrefu,ingawa sio wote lakini asilimia kubwa ,kama ndoa ya miaka 15,mara nyingi suala la unyumba huwa hawalipendi kabisa.linakuwa sio kitu cha first priority kwao,tofauti na wanaume.mara nyingi wanawake majukumu wanayaweka zaidi kuhusu mambo ya family,wengi wanasema hayo mambo ya unyumba miaka nenda miaka rudi yanawachosha.Akae nae mwenyewe amuulize kiutaratibu,au laa ajaribu kumsurprise mke wake waende kama hoteli week end na walale huko huko maybe huyo mwanamke hamu itamjia.kabla ya mchezo huyo mwanamme ampe massage mke wake ya nguvu na ajaribu kumbembeleza haswa,na wakiwa huko asisahau pia kumnunulia zawadi yoyote ndogo kabla ya massage ampe zawadi,mambo mbona yapo mengi ya kujaribu?sitaki kuandika meeeengi nikawachosha wasomaji
 

Ushauri mzuri huu! Mke ana miaka 29 tu sio mkubwa kama unavyofikiria.
 

...matokeo ya kutojua/kuacha kumtimizia mkewe haki yake ya tendo la ndoa.
Mke amejichokea kutimiza wajibu badala naye kustarehe.
 
...matokeo ya kutojua/kuacha kumtimizia mkewe haki yake ya tendo la ndoa.
Mke amejichokea kutimiza wajibu badala naye kustarehe.

Kwa hiyo hapa unashauri vipi Mbu.
 
mambo mengi yanachangia kupoteza hamu ya kufanya tendo la ndoa...
1.stress zinazotokana na kazi au majukumu ya kulea watoto..
2.anatumia dawa zinazoaffect hormones kama ant-psychotic drugs..
3.mume hajui jinsi ya ku-initiate sex kwa mkewe,anafanya kama anaomba vile...sasa mkewe kavumilia kufanya vitu kama utaratibu(routine)..amechoka..
4.maudhi.....(lack of communication)..eg amegundua jambo la mumewe ambalo hayuko happy nalo,na hawezi kumuambia...hio inakuwa kama njia ya kusend ujumbe..

cha kufanya,hatuwezi kujua afanye nini mpaka tujue root ya tatizo...
1.rudisha mambo yawe,kama kile kipindi mnatongozana...amtoe out,amtumie msg za mapenzi ,amsifie kama kapendeza etc

2.atafute njia ya kuongea na mkewe,wavunje ukimya wazungumze...ili mkewe aspeak up her mind kama kuna jambo huyu bwana alimuudhi amuombe msamaha yaishe,ili asitumie sex kama njia ya kumuadhibu..

3.atafute msaada,km ni housegirl hapo nyumbani wa kumsaidia mama kazi za nyumbani,wengi wanachoka kubalance kazi za nyumbani na kazi za kuingiza kipato...akipata msaada hata unyumba anatoa ushirikiano

4.abadilishe mazingira ya kufanya sex,atafute weekend abook hotel labda nje ya mji,,,huko ndiko wakaduu

5>atafute wataalamu,wamfundishe mbinu jinsi ya kuinitiate sex,na mbinu na mitindo mbali mbali ya kufanya sex ili mkewe asikinai

:redfaces::redfaces:
 
Tumemtumia dada yetu aongee na mke wa jamaa ili kujua tatizo lake. Anasema kuwa hana tatizo lolote na jamaa anamfikisha lakini tatizo lake ni kuwa hafurahii lile tendo kabisa na anasema haelewi kwa nini. Kapewa ushauri akawaone wataalamu wa afya.
 
Kama Kaka yako alikua mwanzoni na sasa hivi hali tena ajue kabisa kuna jamaa anachakachua kwa ufundi wa hali ya juu na shemejio kesha ambiwa kuwa hata kama kaka yako atataka asimpe....akimpa kaka yako shemeji yako na huyo Mchakachuaji kwisha habari....So hapo shemeji kachagua Pwani na kaamua kukosa Bara....mwambie kaka yako kuwa shemejia yako kicheche ampige chini alete mwingine.....
 
I am a woman, huyo mama ni mwizi, anaenda nje ya ndoa yake. Baba kuwa makini na huyo fisadi wa mapenzi. Katika hali ya kawaida kama hakuna ugonvi au upo, wiki ni tosha kusawazisha mambo wenyewe au kuita wazee waje watoe ushauri wao. Ikipita miezi mitatu mtu anavaa jeans kwenye joto hili ujue anapata haki yake mchana usiku anakuzingua wewe.

Muombe Mungu atamuumbua soon hata kabla yakikao kijacho utakuwa umepata jibu kamili la shida yako.

We pray that you solve your problem.
 
3 month!!?? au kuna wataalamu washaanza kumla tigo??
 
Nafikiri angeulizwa sasa kwanini aliamua kuolewa tena anataka kulala na Pensi na mkanda juu! Kazi ipo Bora kuoa usiku asubuhi unaacha tu!
 
Mshauri aende kwenye maombi inawezekana ana pepo la mahaba. Kuna dada ambaye ilimtokea akawa hataki kumsikia mumewe kabisa kumbe alikuwa na pepo mahaba ambalo lilikuwa linamridhisha na kumfanya amchukie mumewe.
 
Hafu nasikia mkishaamuaga kukaa kimya hata mkinunuliwa gani ...........hamna kitu hahah Lazima jaama alishajaribu kuongea nae ndio maana akaenda kwa wakwe. Hizi ndio nanahii anaziita bakora za ndoa............. hahah na hapa jamaa akichepuka tu anakesi tena mbaya tu hahahhh
 

sio kweli bwana...
tukikaa kimya lazima kuna jambo,
kukiwa na communication ndani ya nyumba,ndoa haiwezi kufikia hatua mbaya namna hii..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…