Msaada tafadhali naumwa na nyonga

Msaada tafadhali naumwa na nyonga

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Wakuu naombeni msaada mimi ni mchezi mpira ila kwa takrbani miaezi 5 ninasumbuliwa na tatizo la nyonga nimeshauriwa kutumia aina mbali mbali za dawa za kujichua na majani ya mnyonyo na kupaka Declopar lakini tatizo bado linanisumbua naomba msaada wengu ndugu zangu
 
Nenda hospital mkuu.

sent from kuzimu
 
Wakuu naombeni msaada mimi ni mchezi mpira ila kwa takrbani miaezi 5 ninasumbuliwa na tatizo la nyonga nimeshauriwa kutumia aina mbali mbali za dawa za kujichua na majani ya mnyonyo na kupaka Declopar lakini tatizo bado linanisumbua naomba msaada wengu ndugu zangu
Fanya mazoezi mepesi tu ya viungo...itaachia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom