Msaada tafadhali: Nina kibamia

Hiv kibamia maana yake ni kwamba ndo hakisimamiii¡¡ ama kinasimama lakin kifupi
 
Urefu wa wastani ni kuanzia nchi 4.1 hadi 5.8

Japo rejea zingine zinasema normal size ni 5.1-5.8 inches, sasa unachopaniki ni kitu gani.
Hivi hizi size mnazozizungumzia ni ikiwa imesimama(erect au ikiwa non-erect???
 
Jiamini kijana, nchi nne ni mbna ni tango hilo.

Porn na chombezo zimekuharibu sana, ujue wanaume wengi hasa Tz hatuna uume mkubwa sana kama unavyodhani.
Kama ni mdau wa porn na connection za mchongo za kibongo mjini telegram basi utajua fika bongo kwa wastani maumbile yetu ni ya kawaida kama yako.

Ila kwasababu wanaume hatuna desturi ya kuonesha vitendea kazi vyetu hovyo ndio maana hatujuani. Na ndio maana hata mtu mwenye nchi 4 au 5 anajihisi ana kibamia.


Na uume ni pale ukiwa umesimama dede, ukiwa umelala hicho ni kikojoleo tu.
Achana na hayo madawa kijana.
 
Hivi hamnaga wenye maumbile(kitendea KAZI) makubwa wanaotaka kuyapunguza sababu sijawahi kusikia hilo kila siku nasikia kuongeza Tu?,[emoji55]
Swali halihusiani na mada.
 
Kwa mnaojifariji kwamba 7 inch its enough nawapa Siri kutoka kwa wanawake zenu kwa faida yenu japo mm ni m/mme mwenzenu pia.

Kiac hcho bdo ni kidogo sn kwao, ila 10+ inch ndio wanazozihtaji mjue hilo
[emoji1787] Mkuu acha kupotosha watu Mimi Nina 7 inch kuna wanawake tukiingiaga lodge wanaanza kuogopa show.. sasa hiyo 10+ inch si mtapigana makonde??

Maana kuna mmoja juzi nilimpiga show akawa analia kua anaumia Hadi tumbo linauma mi ndo utamu umenoga ye anadai nimuache si nikaropoka "BADO HUJASEMA" We kidogo iwe vita ilibidi nimbane Tu nikojoe... Hiyo 10+ inch labda usex na punda
 
[emoji3][emoji3][emoji3] Malaya wauza mbunye wanasema vibamia vunapesa balaa sasa sijui wana maanisha nini.
 
Pole sana kiongozi munapitia magumu Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…