Mussa werema
Senior Member
- Apr 5, 2023
- 177
- 195
Hiv kibamia maana yake ni kwamba ndo hakisimamiii¡¡ ama kinasimama lakin kifupi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinasimama ila kifupiHiv kibamia maana yake ni kwamba ndo hakisimamiii¡¡ ama kinasimama lakin kifupi
Hivi hizi size mnazozizungumzia ni ikiwa imesimama(erect au ikiwa non-erect???Urefu wa wastani ni kuanzia nchi 4.1 hadi 5.8
Japo rejea zingine zinasema normal size ni 5.1-5.8 inches, sasa unachopaniki ni kitu gani.
Swali lako zuri mkuu,aatujibu wajuvi wahizi kazi.Hiv kibamia maana yake ni kwamba ndo hakisimamiii¡¡ ama kinasimama lakin kifupi
Saizi inahesabiwa ikiwa imesimama, kwasababu uume unafanya kazi ukiwa umesimama.Hivi hizi size mnazozizungumzia ni ikiwa imesimama(erect au ikiwa non-erect???
Mazoezi gani hayo!?Bro fanya mazoezii sana.. inch 4 ni zinatosha sana kumfikisha mwanamke.. piga tizi
😀😀😀 Hatari.Maana usikute huwa unakutana na majiko ya jela, tundu kubwa kama sufuria la ugali
Hata mimi namshangaa huyu mwamba, nchi 4 si haba.Hicho inchi 4 kinatosha, wapo wanawake wanapenda aina hiyo ya maumbile basi tu kutojiamini
duhM
Boo linaogezeka kaka. Mm nishakunywa maji yaliyochemshwa na Mlonge.. unakojoa Kwa siku hata mara 60 na dude linakuwa hogo! Au niliweke hapa?
[emoji1787] Mkuu acha kupotosha watu Mimi Nina 7 inch kuna wanawake tukiingiaga lodge wanaanza kuogopa show.. sasa hiyo 10+ inch si mtapigana makonde??Kwa mnaojifariji kwamba 7 inch its enough nawapa Siri kutoka kwa wanawake zenu kwa faida yenu japo mm ni m/mme mwenzenu pia.
Kiac hcho bdo ni kidogo sn kwao, ila 10+ inch ndio wanazozihtaji mjue hilo
4" mbona ni Mandingo au ulivamia mtumbwi wa vibwengo aka Dege la jeshi?Nne mkuu
Pole sana kiongozi munapitia magumu SanaOctober 2020 Kuna binti nilisex nae,baada ya show akawa anacheka kinoma[emoji16],nkimuuliz anacheka nn hasemi,tulivyoachana hapo baadae usiku akanipigia simu akanambia alikuw ananicheka sababu nna kibamia,na akaendelea kunicheka zaidi na kunipa poleee,nilijiskia aibu sana ila nkajifanya kupotezea. Hadi Leo yule binti nkimuona nabadilisha njia ila nnachomshkur hajanitangaza kwa watu lakini amenifanya nkose kujiamini kabisa na nmekuwa muoga kabisa Yan,tangu kipindi hicho Hadi Leo cjawahi kuwa kwenye mahusiano sababu ya woga.
Hii Hali ya ubamia uiskie kwa mwenzako tu,nyie ambao mna saiz ya kawaida mnapaswa mumshukuru sn Mungu.
Mr. Bundi, useme ikisimama ni nchi ngapi.Pole sana kiongozi munapitia magumu Sana
Me siyo Mr bundi,usiquote hovyoMr. Bundi, useme ikisimama ni nchi ngapi.
Me siyo Mr bundi,usiquote hovy