Msaada tafadhali: Physics, Geography and Mathematics

Msaada tafadhali: Physics, Geography and Mathematics

Shule yoyote itakutoa kutokana na juhudi zako, If needs Engineering akomae na usidanywe eti ukisoma PGM unakuwa rubani hapa bongo hatuna degree ya urubani ila kuna mafunzo ya urubani kama driving.

ni kweli mkuu duniani kote hakuna degree ya urubani(labda kama mi ndo sifahamu but atleast najua hakuna),ila inashauriwa uwe na atleast basics za hayo masomo.i mean physucs,geography na mathematics.japokuwa unaweza kusoma hkl,hge atc na ukawa rubani kwani kwa hapa bongo ukiwa na hela kila kitu kitakuendea sawa.utalipa na kupewa ground school,baada ya hapo utalipa na kuanza kuruka.ukitimiza masaa yanayohitajika utapewa ppl kama kawaida.but kuwa na background ya geog,phy na mtc ni muhimu
 
Tena kama chemistry anachukua asome PCM maana katika vyuo mtu wa PCM anaingia sehemu nyingi zaidi ya mtu wa PGM. Lakn kama chemistry hasomi sio mbaya akomae na PGM au EGM kwake itakuwa nzuri zaidi, kwa ushauri tu.
 
Tena kama chemistry anachukua asome PCM maana katika vyuo mtu wa PCM anaingia sehemu nyingi zaidi ya mtu wa PGM. Lakn kama chemistry hasomi sio mbaya akomae na PGM au EGM kwake itakuwa nzuri zaidi, kwa ushauri tu.

asante mkuu kwa ushauri wako
 
Back
Top Bottom