Msaada Tafadhali Simalizii bao la Pili


Shukran
 
Jitoe katika chama cha CHAPUTA, tena jiuzuru nyadhifa zote, ukiweza mambo yatakaa sawa.
 
Mawazo yangu yote naweka pale ila ndio inatokea hvy na concentrate balaa lakin wapi
Kikawaida unapopiga bao la kwanza mwili wa binadamu unatakiwa ukae dk15 ndio utafute bao la pili iko hivyo.ikiwezekana baada ya bao la kwanza nenda chooni kakojoe kisha rudia tena.utanambia.achana na video za ngono zinazo onyesha mtu anatomba dk 45 sio kweli
 

shukrann nitafanyia kaz
 
Habar zenu

Mimi ni kijana umri miaka 29 Male tatizo kubwaa linalonisumbua nikiwa katika mechii(sex) lile bao la pili naishia njiani hamu yote inapotea na dushe linasinyaaa

Msaada wenu Tafadhali
Unapiga nyeto? Kama ndio , wacha kabisa
 
Habar zenu

Mimi ni kijana umri miaka 29 Male tatizo kubwaa linalonisumbua nikiwa katika mechii(sex) lile bao la pili naishia njiani hamu yote inapotea na dushe linasinyaaa

Msaada wenu Tafadhali
Ushasema Kijana na Male tena inakujaje ndo maana humalizi cha pili.afadhali ulale tu.
 
Tatizo lako unatom.ba huku unachati na smartphone yako lazima dushe lilale.
Ushauri : Zima simu yako wakati wa kudinya.
 
Pole sana...
Kwa tatizo lako... Ukimaliza bao la kwanza.. Usiharakishe kwenda la pili... Jipe muda ili mambo yakae sawa... Unaonekana una nguvu ndogo....


Cc: mahondaw
 
Nafurahikwa sababu tupo wengi. mi bao la kwanza nakuwa na mzuka ila la pili kama ni kujipa shida na kutaka umaarufu
 
jaribu kula matango kwa wingi plus fanya mazoezi kwanza sana and make sure kabla hujakutana na mwenzi wako your free from stress Hope hapo yatakwenda sawia mkuu wish u all the best"
 
Tatzo lako mkuu ni la kisaikolojia. Nimesoma ushauri uliopewa na watu kadhaa hapo nyuma, wengi wamekushauri vizuri. Vitu kama mazoezi, diet, mazingira ya kufanyia tendo na mwenza wako ni miongoni mwa zinazoweza kuchangia tatizo lako. Lakini ninashawishika kabisa kwamba inawezekana ukafuata ushauri huo na bado tatizo likaendelea. Nasema hivyo kwa sababu inawezekana ww saiv kila ukimaliza round ya kwanza brain yako ishajengeka kwamba la pili sitamaliza na ikiwa hivyo, kweli huwezi kumaliza hata kama ukafuata ushauri mzuri uliopewa na baadhi ya watu. Sasa tibu kwanza mind yako kwa sababu mapenzi yanafanywa ktk brain. Tell ur brain that today I can do it, na nina uhakika utaweza broo.
 
Ukizingatia yote hayo ni sawa ila nina uhakika mwenzako hana ushirikiano katika mchezo yy analala tu hajui kujigaragaza ili ufanikiwe hili lazima wote muwe bize na kuchezeana ndio mzuka hata bao 4 utaenda bila wasi
 
Habar zenu

Mimi ni kijana umri miaka 29 Male tatizo kubwaa linalonisumbua nikiwa katika mechii(sex) lile bao la pili naishia njiani hamu yote inapotea na dushe linasinyaaa

Msaada wenu Tafadhali
Usitumie kinga pia acha kupiga punyeto.Kula vizuri na acha uvivu jitume.Hakikisha unafanya tendo na mwanamke unayempenda ili usiwahi kumchukulia kawaida.Mwisho kabisa using'ang'anie mtindo mmoja tu maana unaònekana ni mpenzi wa kifo cha mende[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Kipindi unafanya sex hakikisa akili yako,mawazo,na kila kitu chako kinakuwa kwenye tendo.usiwe unatomba hakafu mawazo yako kwenye mechi ya bacca na madrid,utakimbiwa
Kweli we ba ubaya..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…