resonanceiduufu
Senior Member
- Jul 29, 2016
- 112
- 62
Umeandika tu kwamba unatumia Ancel. Ila hao Ancel wana mashine za aina nyingi. Weka model au picha ya mashine yako.Naomba MSAADA: Baada ya kubadilisha injector nozzle zote engine imekosa nguvu, na bado check engine lamp HAIWAKI__
Nikitumia mashine ya Diagnosis (ANCEL) fault code P1922(switch on engine off) na P0089 (switch on engine on) zinatokea, nikiClear na kuscan tena inarudi P1922...
TATIZO: $jui namna ya kufanya registration ya injectors kwa kutumia mashine! Naomba MSAADA!
Gari halina nguvu kabisa, speed 30 tu kuipata shida sana!
Asanteni
Mashine ni ANCEL X6/X7___ sina experience kubwa na Diagnosis ila nimenunua mashine hii ili kuwa nafanya kazi zinazojitokeza. Kuna baadhi ya vitu sijawahi kufanya kama hiyo injector registrationUmeandika tu kwamba unatumia Ancel. Ila hao Ancel wana mashine za aina nyingi. Weka model au picha ya mashine yako.
Note: Kama mashine unayotumia ni code reader basi huwezi kufanya injector coding.
Mwisho ukikwama nicheck nikufanyie hiyo injector coding. Maana software yake ninayo. View attachment 1852599
Ancel X6 inafanya injector coding.Mashine ni ANCEL X6/X7___ sina experience kubwa na Diagnosis ila nimenunua mashine hii ili kuwa nafanya kazi zinazojitokeza. Kuna baadhi ya vitu sijawahi kufanya kama hiyo injector registration