Msaada tafadhali ukitaka kubadilisha kada ya utumishi baada ya kujiendeleza kielimu

Msaada tafadhali ukitaka kubadilisha kada ya utumishi baada ya kujiendeleza kielimu

Ongezea nyama itapendeza thread ime hang kishamba unazingua hapo hatuelewi vipi unachotaka

Sema kwanza upo kitengo gani chini ya wizara gani km NI serikali kuu au halmashauri chini ya idara gani na je elimu yako then unataka ukasomee Nini na je unachotaka haswa NI process gani uelekezwe?ya kuandika barua au ku apply chuo
 
Ongezea nyama itapendeza thread ime hang kishamba unazingua hapo hatuelewi vipi unachotaka

Sema kwanza upo kitengo gani chini ya wizara gani km NI serikali kuu au halmashauri chini ya idara gani na je elimu yako then unataka ukasomee Nini na je unachotaka haswa NI process gani uelekezwe?ya kuandika barua au ku apply chuo
Nimesoma agricultural economics and agribusiness.idara ya kilimo.nipo halmashauri.nataka Kubadilisha muundo kwenda uchumi.
 
Nimesoma agricultural economics and agribusiness.idara ya kilimo.nipo halmashauri.nataka Kubadilisha muundo kwenda uchumi.
Muda Wote Ulishindwa Kujieleza Vema

Utumishi Unatakiwa Kuwaandikia Barua Halafu Ijitosheleze Yaani Kusudio Lako
Usiandike Kama Hapo Juu
 
Muda Wote Ulishindwa Kujieleza Vema

Utumishi Unatakiwa Kuwaandikia Barua Halafu Ijitosheleze Yaani Kusudio Lako
Usiandike Kama Hapo Juu
Nimeandika kama mara tatu hakuna majibu
 
Naomba kusaidiwa hatua za kufuata kubadilisha kada kwa anayefahamu na pengine amepitia hatua hizo.
Upo kada gani na umesoma vitu gani vya kukuwezesha kubadilisha kada?

Unapobadilisha kada kwa sasa utaanza na mshahara wa mwajiriwa mpya wa kada husika unayohamia bila kujali kada yako uliyotoka ulikuwa umefikia ngazi gani ya mshahara
 
Upo kada gani na umesoma vitu gani vya kukuwezesha kubadilisha kada?

Unapobadilisha kada kwa sasa utaanza na mshahara wa mwajiriwa mpya wa kada husika unayohamia bila kujali kada yako uliyotoka ulikuwa umefikia ngazi gani ya mshahara
Sawa tu.nilikuwa kilimo nataka kwenda uchumi.
 
Back
Top Bottom