Msaada tafadhali: Ushauri wa jinsi ya kugawanya Kiwanja

CottonEyeJoe

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2008
Posts
331
Reaction score
72
Salaam Wanajamvi,

Nina kiwanja cha kama square meter elfu mbili na nne ambacho nataka kukigawanya kiwe plot tatu zenye title kila moja.... naomba msaada wa jinsi ya kufanya hivyo bila gharama kubwa "Step b Step"

Nashukuru wote na Sikukuu njema.

CEJ.
 
Si unagawa kwa 3 kisha unapata vipimo kwa kila kimoja then unaanza kupima na kukata au?
 
kama hizo sqm zako zizlishapimwa huwezi kukigawa, kama bado nenda ardhi maana ndo watakupimia na kukupa ramani ili ziingizwe kwenye plan za H/w au manispaa
 
kama hizo sqm zako zizlishapimwa huwezi kukigawa, kama bado nenda ardhi maana ndo watakupimia na kukupa ramani ili ziingizwe kwenye plan za H/w au manispaa

kiwanja kina title deed; ninacho omba msaada ni kujua utaratibu wa ku Sub-divide plot into three.... nimeambiwa inawezekana na mtu sema sijui procedures....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…