herzegovina
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 3,143
- 4,724
Wakuu naomba mnipe muongozo hapa.
Chombo kikuu cha kutoa haki ni mahakama. Sasa nauliza, kama mahakama ikiizuia serikali kufanya jambo fulani, au ikiiamuru serikali kulipa gharama fulani na serikali isitekeleze.....ni kipi kinatakiwa kifanyike???
Na hii siyo kwa serikali tu, hata viongoz wa serikali. Tuliona hukumu dhidi ya bwana mrisho Gambo, sidhani kama alilipa kile alichotakiwa kulipa kwa amri ya mahakama.
Hii ina maana hata kesi ya mbowe dhidi ya DC wa hai inaweza kuishia juu kwa juu....
Mimi naomba mnijuze, serikali ikikaidi amri ya mahakama ni kipi kinatakiwa kifanyike???
Chombo kikuu cha kutoa haki ni mahakama. Sasa nauliza, kama mahakama ikiizuia serikali kufanya jambo fulani, au ikiiamuru serikali kulipa gharama fulani na serikali isitekeleze.....ni kipi kinatakiwa kifanyike???
Na hii siyo kwa serikali tu, hata viongoz wa serikali. Tuliona hukumu dhidi ya bwana mrisho Gambo, sidhani kama alilipa kile alichotakiwa kulipa kwa amri ya mahakama.
Hii ina maana hata kesi ya mbowe dhidi ya DC wa hai inaweza kuishia juu kwa juu....
Mimi naomba mnijuze, serikali ikikaidi amri ya mahakama ni kipi kinatakiwa kifanyike???