Msaada tafadhali wakuu wa JF doctor

Theodore Bagwell

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2014
Posts
940
Reaction score
225
Poleni na majukumu ya leo wakuu. Tatizo langu ni kwamba nikikaa kama wiki moja bila kusex au nikiwa kwenye maandalizi ya kufanya sex halafu ikashindikana napata maumivu makali sana ya kiuno yanayoshuka hadi kwenye KORODANI. Na solution ni sex. Msaada tafadhali wakuu. Ansanteni
 
Unadhani ni ugonjwa ama unataka tu kujua kwa nini hayo maumivu yanakutokea?


Kwa taarifa tu: Afya yako ni nzima kabisa...!
 
Unadhani ni ugonjwa ama unataka tu kujua kwa nini hayo maumivu yanakutokea?


Kwa taarifa tu: Afya yako ni nzima kabisa...!

Mkuu kuna wengine wananiambi eti utakuwa ni mchango je kuna ukweli kwenye maelezo hayo
 
Utashauriwa vizuri na wataalamu ila yangu... ukizidiwa sana au ukatarajia kusex ila ukakosa, punyeto pia itakusaidia ila usiendekeze.
 
Nimatokeo ya kudindisha maranyingi tena kwa muda mrefu wakati unapofikiria sex kama mwenyewe ulivyosema.
 

fanya mazoezi, usiwaze sana ngono.
 
Unadhani ni ugonjwa ama unataka tu kujua kwa nini hayo maumivu yanakutokea?


Kwa taarifa tu: Afya yako ni nzima kabisa...!

Dawa yake hakikisha kila demu anaekula pesa zako nawe unamla kwa mda mliokubaliana tatizo litaisha na acha uzoba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…