Nimeenda kupima general body health na niliambiwa PH yangu inatofautiana kwa kiwango kikubwa sana yaani acid ni nyingi kuliko alkali,na pia nina urefu wa cm 164 na ni kg 66 lakini nimeambiwa moyo una mafuta.Please help me in order to balance acid and alkal same as to reduce level of fat to my heart.regards