Msaada tafadhali

Msaada tafadhali

Mr. Miela

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2007
Posts
1,254
Reaction score
2,121
Baada ya kutumia flash disk yangu kuhamisha files toka kwenye komputa ya mshikaji wangu, file zote zinaonekana kama shortcut na hazifunguki, pia baadhi ya file kwenye komputa yangu zimepotea! Kwa wenye uzoefu ni antvirus gani itakayoweza kuokoa jahazi! Natumia avast kwenye komputa yangu!
 
Natumaini nimeingia choo cha kike! enewei ngoja nipige goti msaada utapatikana pande hizo!:embarassed2::redfaces:
 
tatizo nidham haba, utapaitaje hapa choo cha kike? Chooni kunapatikana msaada wa aina gani?
 
Natumaini nimeingia choo cha kike! enewei ngoja nipige goti msaada utapatikana pande hizo!:embarassed2::redfaces:

nnavyojua jua mimi chooni utaongeza virus tu!. I would suggest, mmm.. mmmm.. I dont know... instead ya kuingia choo cha kike ingia cha kiume so that u jst get the virus.. ukiingia cha kike unapata embarrassment na virus.(That is wen u r a guy!)...

:bathbaby:
 
Baada ya kutumia flash disk yangu kuhamisha files toka kwenye komputa ya mshikaji wangu, file zote zinaonekana kama shortcut na hazifunguki, pia baadhi ya file kwenye komputa yangu zimepotea! Kwa wenye uzoefu ni antvirus gani itakayoweza kuokoa jahazi! Natumia avast kwenye komputa yangu!

Ili uone faili zako, kama ni mshirika wa Gates, jaribu kuview hidden files kwa kuingia
toolbars menu:
tools;
folder option; view, advance setting,
and
select show ....
unmark hide protected.....
ok


antivirus zina kill .inf file lakini hazirestore effects zake.

Ukiweza kufungua mabaki ya .inf file kama notepad bila kubofya, utaona mlolongo wa kazi inazofanya na imejificha wapi ikiendelea na kuficha na kuduplicate mafaili.

Kwa ufupi remove malware manually in safe mode.
 
Back
Top Bottom