Ghalama za usafirishaji, Free/Paid shipping haiuhusiani na ulipaji au kutokulipa kodi.Habari wana JF nauliza nikitaka kuagiza spare Online mfano Ebay , amazon, nikiagiza na mfano ni free shipping nitakuja kulipa tax tena Tanzania???
Utapokelea posta - iwapo mzigo unakuja kwa njia ya postaNa je kwenye kupokea napokea wapi mzigo wangu????
Ni miaka kadhaa sasa imepita tangu nianze huduma ya kuagiza bidhaa toka nje ya nchi.Naomba msaada ambaye Ameagiza au anayejua Details vizuri anijuze. Karibuni
Iwapo utatumia huduma yangu.Na je kwenye kupokea napokea wapi mzigo wangu????
Kwahiyo kwa huduma yako utamtaarifu mteja pale atakapotakiwa kulipa kodi?Ghalama za usafirishaji, Free/Paid shipping haiuhusiani na ulipaji au kutokulipa kodi.
Iwapo mzigo umekaguliwa na kutakiwa kulipa kodi itabidi ulipie tu. Na iwapo mzigo uko kwenye kundi la items zisizo lipiwa kodi basi hautolipia kodi
Utapokelea posta - iwapo mzigo unakuja kwa njia ya posta
Utaletewa nyumbani / ofisini - iwapo utatumia kampuni kama DHL/ FEDEX/ ARAMEX/ UPS etl
Pia utapigiwa simu baada ya mzigo wako kufika
Ni miaka kadhaa sasa imepita tangu nianze huduma ya kuagiza bidhaa toka nje ya nchi.
Maelezo zaidi ingia hapa: Nunua bidhaa: Kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa kwa msaada zaidi.
Iwapo utatumia huduma yangu.
- Kama upo mkoani mzigo utatumiwa kwa EMS au kwa njia ya BASI - wewe utatoa mwongozo baada ya mzigo kufika
- Iwapo upo DSM (a) Waweza kuja kuchukua ofisini - UTAPATA MAELEKEZO (b) Waweza kuletewa mahala ulipo ofisini au nyumbani - Utalipia ghalama ya TZS 3,000
KARIBU www.bit.ly/101buy4me
Ni sahihi kabisa.Kwahiyo kwa huduma yako utamtaarifu mteja pale atakapotakiwa kulipa kodi?
Ndani ya siku 14Asanteni na mzigo unaweza kuchukua siku ngapi??? Mpaka unafika mfano nimeagiza kutoka U.S.A
Mkuu samahani nawezaje kujua kama bidhaa ninayo agizwa haipaswi kulipiwa kodi?Ghalama za usafirishaji, Free/Paid shipping haiuhusiani na ulipaji au kutokulipa kodi.
Iwapo mzigo umekaguliwa na kutakiwa kulipa kodi itabidi ulipie tu. Na iwapo mzigo uko kwenye kundi la items zisizo lipiwa kodi basi hautolipia kodi
Utapokelea posta - iwapo mzigo unakuja kwa njia ya posta
Utaletewa nyumbani / ofisini - iwapo utatumia kampuni kama DHL/ FEDEX/ ARAMEX/ UPS etl
Pia utapigiwa simu baada ya mzigo wako kufika
Ni miaka kadhaa sasa imepita tangu nianze huduma ya kuagiza bidhaa toka nje ya nchi.
Maelezo zaidi ingia hapa: Nunua bidhaa: Kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa kwa msaada zaidi.
Iwapo utatumia huduma yangu.
- Kama upo mkoani mzigo utatumiwa kwa EMS au kwa njia ya BASI - wewe utatoa mwongozo baada ya mzigo kufika
- Iwapo upo DSM (a) Waweza kuja kuchukua ofisini - UTAPATA MAELEKEZO (b) Waweza kuletewa mahala ulipo ofisini au nyumbani - Utalipia ghalama ya TZS 3,000
KARIBU www.bit.ly/101buy4me
Ni vyema kufika kwenye ofisi za mamlaka husika, utapata ufafanuzi stahiki.Mkuu samahani nawezaje kujua kama bidhaa ninayo agizwa haipaswi kulipiwa kodi?
Binafsi ijumaa ya 18/1/2019 nimetoka post kuchukua mzigo wangu kutoka China..ni spea ya gari.Habari wana JF nauliza nikitaka kuagiza spare Online mfano Ebay , amazon, nikiagiza na mfano ni free shipping nitakuja kulipa tax tena Tanzania??? Na je kwenye kupokea napokea wapi mzigo wangu???? Naomba msaada ambaye Ameagiza au anayejua Details vizuri anijuze. Karibuni
Samsung J7
Umebahatika tu ndugu yangu. Spare za gari unalipa kodi. Jumla inakuwa kama 47.5% ya gharama ya spare kama ni mpya. Kama ni used, nafikiri unalipia excise duty, nimesahau ni asilimia ngapi.Binafsi ijumaa ya 18/1/2019 nimetoka post kuchukua mzigo wangu kutoka China..ni spea ya gari.
Kwa kweli sijatozwa kodi yoyote ninedaiwa tu kitambulisho wakanipa mzigo wangu...nadhani pia inategemea ukubwa wa mzigo na uzito kama sikosei.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu..kwa hiyo kumbe fagio la chuma limenikosa??Umebahatika tu ndugu yangu. Spare za gari unalipa kodi. Jumla inakuwa kama 47.5% ya gharama ya spare kama ni mpya. Kama ni used, nafikiri unalipia excise duty, nimesahau ni asilimia ngapi.
Limekukosa aise. Hasa ikiwa kifurushi kidogo huwa wanapotezea. Wakiona kikubwa wanamwita jamaa wa TRADuu..kwa hiyo kumbe fagio la chuma limenikosa??
Kuna spark plug nataka kuagiza tena...ngoja niagize nione kama hili fagio la TRA linanipapasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Daa..ngoja nijaribu kuagiza kifaa kingine nione...huko kwa wenzetu kuna vitu vizuri sana na bei cheeLimekukosa aise. Hasa ikiwa kifurushi kidogo huwa wanapotezea. Wakiona kikubwa wanamwita jamaa wa TRA
Samahani mkuu, hiyo spare ilikuwa na uzito kiasi gani na thamani kiasi gani?Binafsi ijumaa ya 18/1/2019 nimetoka post kuchukua mzigo wangu kutoka China..ni spea ya gari.
Kwa kweli sijatozwa kodi yoyote ninedaiwa tu kitambulisho wakanipa mzigo wangu...nadhani pia inategemea ukubwa wa mzigo na uzito kama sikosei.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa ni air filter ya gari...sijakadiria uzito wake ila ni nyepesi...Samahani mkuu, hiyo spare ilikuwa na uzito kiasi gani na thamani kiasi gani?
Good.Ilikuwa ni air filter ya gari...sijakadiria uzito wake ila ni nyepesi...
Kule nimeinunua 6 usd... spea hiyo hiyo hapa nyumbani wanaiuzia 65,000/- kisa eti ni spea ya Nissan...
Sent using Jamii Forums mobile app