Mwana kondoo
Senior Member
- May 21, 2017
- 180
- 177
Habari wapendwa,
Nahitaji kujua neno sahihi kwa nafasi iliyoachwa wazi katika sentensi ifuatayo ni lipi!
"Ukimya wako..................utakaokuponza" (ndio, ndiyo)
Je neno sahihi hapo ni ndio au ndiyo?
Nahitaji kujua neno sahihi kwa nafasi iliyoachwa wazi katika sentensi ifuatayo ni lipi!
"Ukimya wako..................utakaokuponza" (ndio, ndiyo)
Je neno sahihi hapo ni ndio au ndiyo?