Msaada tafadhali

Msaada tafadhali

Twaps

Member
Joined
May 26, 2011
Posts
50
Reaction score
28
Nimemaliza chuo mwaka jana Ba. Business Administration nipo kwenye kampuni moja changa nafanya tempo ila wakati natafuta kazi sehemu nyingine mpaka sasa sijafanikiwa.Naomba ushauri ni sehemu gani nikaombe intership ili angalau nipate experience na iwe sehemu ambayo ni rahisi kwangu kuajiriwa kwani ninafanya kazi kuliko kawaida naamini watatamani kuniajiri.Makazi yangu ni Dar na ninahitaji kufanya kazi Dar.
 
Back
Top Bottom