OGOPASANA
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 262
- 144
Habari wakuu, nahitaji msaada wa kupata mkopo wa kiasi cha shillingi milioni mia moja (100 Mil) kutoka kwa mtu binafsi ama taasisi yoyote kwa ajili ya kufufua, kuboresha na kuendeleza biashara zangu. Nina mdhamini (mama yangu) aliye tayari kunidhamini kwa ajili ya mkopo huu kwa kuweka dhamana nyumba mbili (moja ina vyumba vitatu, sitting room, dinning room, jiko na nyumba nyingine ina vyumba kumi mfumo wa vyumba vitano kushoto na vitano kulia). Nimejaribu kutafuta na kupata mkopo katika mabenki na taasisi nyingi za kifedha bila mafanikio kwa kuwa wanasema biashara zangu ndo zilikuwa zinaanza walau ningekuwa na uzoefu usiopungua mwaka mmoja na kuendelea. Nina uwezo wa kulipa riba isiyozidi asilimia tatu (3%) kwa mwezi au asilimia arobaini (40%) kwa mwaka. Nina uwezo wa kurejesha mkopo kuanzia mwaka mmoja hadi miaka mitatu. Kwa yoyote anayeweza kunisaidia kwa lolote kuhusiana na suala hili anisaidie tafadhali.
Mwombaji mkopo - 0654 743 825
Mwombaji mkopo - 0654 743 825