Msaada tafadhali

Msaada tafadhali

Eliezar Mlwafu

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
449
Reaction score
140
Nasikia maumivu makali sana kwenye kibofu cha mkojo,na pia nakojoa mkojo wa njano,nimejalibu kupima mala kadhaa,lakini vipimo vinaonyesha sina tatizo lolote,sasa cjajua kwakweli tatizo ninini.naombeni ushauri wenu tafadhali
 
Back
Top Bottom