msaada tafadhali

msaada tafadhali

moreen baby

Senior Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
127
Reaction score
23
habari madocta nina maswali mawili nataka kuwaulizaa

1. ivi ni inachukua mda gani kujigundua kama wewe umeathirika utaona dalili zipi

2. na ukifanya mapenzi na mwanaume ukiwa siku za hatari za kushika mimba na mwanaume asipopizi ndani unaweza ukapata mimba..

ni hayo tuu
asanteni
 
Back
Top Bottom