msaada tafadhali

ushanka

Member
Joined
Nov 5, 2014
Posts
14
Reaction score
2
kwa anayejua eusophagael tumour ni nn na wapi ninaweza kupata matibabu anisaidie jaman.baba yangu kaambiwa kuwa ana tatizo hilo na daktar nimezunguka Naye hospitali nyingi bila mafanikio naishia kupewa rufaa tu nipo muhimbili hapa lkn bado hapaelewek na hali ya mgonjwa inazidi kuwa mbaya nisaidien tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…