Nasikia nabanwa na kitu kama vichomi tumboni kwa chini hasa upande wa nyonga /diaphram baadhi ya watu wameniambia ni baridi ninywe maji au chai ya moto nimefanya hivyo lkn bado hii mi siku ya pili. Msaada kwa anaejua tatizo hili
Maumivu ya kichomi au kama
kichomi chini ya kitovu na
maumivu haya uwa hayawi kwa
marefu hapana yanakua sehemu
moja tu na yanakua kama
kichomi. Na maumivu haya
yanaweza kuwa ya upande mmoja
ua pande zote mbili na mara
nyingi hutokea pale mtu anapokua
akicheka au kuinama au ukiwa
unakimbia au umeinua kitu kizito,
iyo inakuonyesha kuwa wewe una
ovarian cysts. (uvimbe kwenye ovary). juchunguze uone kama yanaendana.
NYONGEZA;
epuka au punguza matumizi ya;
>vinywaji baridi sana
>viungo vingi kwenye chakula hasa pilipili na binzari.
>vyakula vya mafuta.
pia usipigwe na baridi sana, vaa koti.
kama ni mnene anza mazoezi upunguze unene.
tathimi menstruation cycle yako kama inaenda sawa, muda ambao kinakupata, pia kimeanza lini, ukihisi kasoro yoyote mwone dokta wa magonjwa ya wanawake.