Nimeshaenda mara mbili, baada ya vipimo napewa panadol na kuambiwa ninywe maji ya vuguvugu, baada ya hapo hua napata nafuu kabisa, tatizo ni kwamba hali hiyo hurudia kila baada ya muda flani.
Nimeshaenda mara mbili, baada ya vipimo napewa panadol na kuambiwa ninywe maji ya vuguvugu, baada ya hapo hua napata nafuu kabisa, tatizo ni kwamba hali hiyo hurudia kila baada ya muda flani.
Pole. bado tunasisitiza uendelee kuchunguza zaidi hopital. kama unavyo jua utaalamu na vifaa vinatofautiana. ukishidwa kabida njoo tukupe ushauri na tiba mubadala. 0689 417 472