Msaada tafadhali

Msaada tafadhali

Loveness

Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
40
Reaction score
1
Habari wana jamvi.
Jamani naombeni msaada kwa mwenye uelewa, nahitaji kufuga kuku wa mayai ila eneo ninalotaka kufugia umeme bado haujafika, je naweza kutumia nishati gani mbadala.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
 
kuna threads nyingi za ufugaji kuku, hebu zitafute!!! utafaidi mengi sana!!
 
Sio lazima kila mfuga kuku ana umeme. Unaweza kutumia chemli na kwa kuweka joto unatumia jiko la mkaa. Unataka kufuguia sehemu gani? You may be my neighbour.
 
Sio lazima kila mfuga kuku ana umeme. Unaweza kutumia chemli na kwa kuweka joto unatumia jiko la mkaa. Unataka kufuguia sehemu gani? You may be my neighbour.

Nataka kufugia Goba kunguru. Thanks kwa ushauri
 
Back
Top Bottom