Msaada tafadhalin kwa anayejua km huu ni ugonjwa au ni tatizo gani!!!!!

Msaada tafadhalin kwa anayejua km huu ni ugonjwa au ni tatizo gani!!!!!

Ana umri gani? kwa mimi cases nyingi za namna hiyo nimeziona kwa wamama wenye fibroades(sina hakika na spelling). Naamini kama amechelewa kidogo kuzaa lakini mimi sio specialist.

Ana 27 yrs na hajawahi kuwa na mtoto kabla.
 
Mdogo wangu, yaani umepotea afu unakuja kimya kimya?
Hili swali tumuulize mama. Ila sidhani Kama ni tatizo kubwa. Ikiendelea aendelee kwa specialist ili na issue ya mimba iwe sorted.
 
Mtumie txt mwambie awe muwazi kwa dokta...

Nimeshamwambia na kwa maelezo yake dokta ameamua kuwachukua maelezo kila mtu akiwa peke yake,ndo anasubiri kuingia kujieleza,asante Mentor.
 
Last edited by a moderator:
Mdogo wangu, yaani umepotea afu unakuja kimya kimya?
Hili swali tumuulize mama. Ila sidhani Kama ni tatizo kubwa. Ikiendelea aendelee kwa specialist ili na issue ya mimba iwe sorted.
Jaman dada yangu,nimerudi tangu majuzi na niliweka bandiko kule uwanja wa hm chitchat ila sikukuona hope hukulionna pia,but am back my darling sister!

Keshaenda kumwonda dokta tayari!
 
Asanteni wote kwa ushauri na maoni yenu,hata wale waliotumia vichwa vya chini kuelewa ishu hii na badala ya kushauri au kukaa kimya tu km hawana cha kushauri wameponda nao pia nawashukuru kwa kuonesha kikomo cha uelewa wao!

Cha kushukuru baada ya wifi yangu kwenda kwa dokta amegundulika hakuwa sawa kisaikolojia kutokana na kuwa na shauku kubwa ya kupata mtoto na hana tatizo lingine zaidi ya hilo nalo limeshaanza kupatiwa suluhisho!
 
Back
Top Bottom