unatokea wapi mkuuHabari zenu,
Ni matumaini yangu ni wazima wa afya njema, kimya kingi ni kutokana na majukumu tu. Nilikuwa na safari ya kuelekea Singida kikazi, mwezi huu.
Hivyo basi, wale wazoefu wa huko wanipe gharama za nauli, bus nzuri na muda wa kuwasili. Kama kuna wadau wanaouza mahindi watiririshe bei zao, walipo, na kiujumla mahindi soko lake likoje na upatikanaji wake.
Karibuni sana kwa maoni yenu.
Nawasilisha.
Bei ya mkulima singida ni 55 elf kwa gunia la mahindi la debe 6Habari zenu,
Ni matumaini yangu ni wazima wa afya njema, kimya kingi ni kutokana na majukumu tu. Nilikuwa na safari ya kuelekea Singida kikazi, mwezi huu.
Hivyo basi, wale wazoefu wa huko wanipe gharama za nauli, bus nzuri na muda wa kuwasili. Kama kuna wadau wanaouza mahindi watiririshe bei zao, walipo, na kiujumla mahindi soko lake likoje na upatikanaji wake.
Karibuni sana kwa maoni yenu.
Nawasilisha.
Eneo gani mkuu hapa singida??,tafadhali sanaBei ya mkulima singida ni 55 elf kwa gunia la mahindi la debe 6
Unatokea kibiti au wapi? Mahindi unapeleka wapi?! Nje ya mkoa uwe na kibali. Mahindi yapo Bei ni Tshs 65, 000 - 75000 @ 100kg.Habari zenu,
Ni matumaini yangu ni wazima wa afya njema, kimya kingi ni kutokana na majukumu tu. Nilikuwa na safari ya kuelekea Singida kikazi, mwezi huu.
Hivyo basi, wale wazoefu wa huko wanipe gharama za nauli, bus nzuri na muda wa kuwasili. Kama kuna wadau wanaouza mahindi watiririshe bei zao, walipo, na kiujumla mahindi soko lake likoje na upatikanaji wake.
Karibuni sana kwa maoni yenu.
Nawasilisha.