Mimi ni mjamzito nilikuwa nasikia dalili za UTI nilipoenda kupima nikaambiwa ninayo.
Nikaandikwa Amoxillini nilipomaliza hiyo dose nilikaa siku moja mwili wote ukawa na vipele.
Nikarudi Hospital kuelezea tatizo nikaandikiwa nitumie Citrizin ila bdo havijaisha.
Naomba msaada wanaJF.
Nikaandikwa Amoxillini nilipomaliza hiyo dose nilikaa siku moja mwili wote ukawa na vipele.
Nikarudi Hospital kuelezea tatizo nikaandikiwa nitumie Citrizin ila bdo havijaisha.
Naomba msaada wanaJF.