Kwa ujumla UTI ni ugonjwa unaotokana na uchafu. Mathalani baada ya haja kubwa unajitawadha kutoka nyuma kwenda mbele lazima upate maambukizo.Its a shama mama au dada kama wewe kuumwa UTI
Kwa ujumla UTI ni ugonjwa unaotokana na uchafu. Mathalani baada ya haja kubwa unajitawadha kutoka nyuma kwenda mbele lazima upate maambukizo.Its a shama mama au dada kama wewe kuumwa UTI
acha kukariri maisha dada kaomba msahada anatakiwa kusaidia...!!?? nani alie kwambia UTI ni uchafu..???? UTI ni common infection kwa mwanamke... UTI yaweza sababishwa pia na usafi ulio pitiliza kwenye uke...je walijua hilo...???? ni vzuri kama auna ushauri kunyamaza kukiko kumshambulia mtu kwa kitu usicho kijua...!! na pia mwanamke anapata UTI kwakuwa urethra yake ni ndogo toward urinary bladder ivyo basi inakuwa kwake ni raisi kushambuliwa na bactria waishio kwenye colon...!!!