Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Aibu,jamaa kawanyandua sana hadi barabaraniHili jambo linaongelewa na wanaume tu mbn wanawake hawaongei chochote!!!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu,jamaa kawanyandua sana hadi barabaraniHili jambo linaongelewa na wanaume tu mbn wanawake hawaongei chochote!!!!?
Aibu kubwa lkn wanaume wamejifunza kuhusu wanawake, wanawake pia wanapaswa kujifunza kuhusu wanaume.Aibu,jamaa kawanyandua sana hadi barabarani
Jamaa wana maisha mazuri sana na mahakimu wao wako humo humo umasaini🤣! Kula tunda ila usijisifie hii inasaidia kubadilisha ladha ya mbunye.Kula mzigo hadi mimba, marufuku kutangaza mtoto ni wako kwenye Boma la mwezio hata kama mtoto kazaliwa kafanana at
%
Masai wamejiwekea utaratibu mzuri😄 ukimtamani mke wa mwenzio unatomba tu ila uweke "Men at Work" nje kwake.
Wao wanawake wanawachukulia kama appliances tu. Kama unavyomiliki blender unaweza ukamuazima jirani yako atumie kisha litabakia kuwa lako.
Element ya ubinafsi kwa wamasai haiko kabisa 😁
Ukizingatia kinachotutesa ni ubinafsi bora tungeishi kama wamasai.Na ndivyo hivyo inatakiwa iwe
Mkuu magonjwa ya zina ni hateri kwenye huo mfumo wa masi.Ukizingatia kinachotutesa ni ubinafsi bora tungeishi kama wamasai.
Eeh sema changamoto zake ndio hizo, mtu akipenyeza kitu tu wote wanaisha🤣Mkuu magonjwa ya zina ni hateri kwenye huo mfumo wa masi.
Suala muhimu ni ku-ignore wanawake tusiwe matumaini makubwa kwao tutaumia sanaa women are Easy goer,Eeh sema changamoto zake ndio hizo, mtu akipenyeza kitu tu wote wanaisha[emoji1787]
Hii issues inakuwa mwalimu wa kufunza na darasa la kujifunza, tupo wengi ambao mitazamo itabadilika na wengi wetu tulio kua na mitazamo mingine juu ya mahisano na ndoa tumepata nguvu ya kukazia hoja zetu.Kwa hili jamaa mitazamo ya wengi itabadilika
Hili mimi binafsi nililifamu muda kidogo, pale ambopo kwenye ndoa ni ngumu kupata sex na rahisi nje kupata sex nikaju na kuhitimisha ndoa ni kitu kingine ambacho dunia inakuaminisha utapata hiki na kile kwa wepesi ila ukishaingiamo ndio unakuta kinyume.Ndoa haikupi uhakika wa uaminifu, maana yake ni kwamba kuoa/kuolewa hakukuhakikishii wewe/mwenza wako mtakuwa waaminifu, mmoja au wote mnaweza kuwa kwenye ndoa na msiwe waaminifu, mkawa mnachapisha nje ya ndoa.
Kabisa , kama mwanaume utahitaji kuishi kwa mateso makali ya kihisa mpe kipaombele kila mwanamke ulie na hisia nae, dunia itakukuwia ngumu mno.Suala muhimu ni ku-ignore wanawake tusiwe matumaini makubwa kwao tutaumia sanaa women are Easy goer,
Sisi tunaona washamba kumbe watupita hatua kadhaa za upeo!Masai wamejiwekea utaratibu mzuri😄 ukimtamani mke wa mwenzio unatomba tu ila uweke "Men at Work" nje kwake.
Wao wanawake wanawachukulia kama appliances tu. Kama unavyomiliki blender unaweza ukamuazima jirani yako atumie kisha litabakia kuwa lako.
Element ya ubinafsi kwa wamasai haiko kabisa 😁
Ndio maana mimi binafsi hii inayosemekana mume ama mke anauma haifanyi kazi nje ya ubinfsi tulio nao sisi baadhi ya viumbe, ukifanikiwa kuupunguza ukilema wa ubifsi walao unaweza kusogelea mantiki ya maisha ambayo ni furaha.Ukizingatia kinachotutesa ni ubinafsi bora tungeishi kama wamasai.
Utakusaidia nini mkuu?Mwenye link wa mzigo wote 400 wa mjomba tafadhari anirushie
Wewe Kuongozana na mwanamke Clinic ndio utaonekana mume bora?Nimesha jifunza how to handle a woman........never put more trust in her.
Babe kuwa mwanamke sio rahisi🤣🤣🤣Hivi na wewe umeingia mtego wa kumkubali huyu mguinea? Japo siamini kama umeangalia pilau zake🤪
Inshort Wauza kumar watapanda chart kwa sababu ni wakweli na wawazi kuliko hawa wanaouza kumar indirect.Hili mimi binafsi nililifamu muda kidogo, pale ambopo kwenye ndoa ni ngumu kupata sex na rahisi nje kupata sex nikaju na kuhitimisha ndoa ni kitu kingine ambacho dunia inakuaminisha utapata hiki na kile kwa wepesi ila ukishaingiamo ndio unakuta kinyume.
Ni kweli kabisa ni mwalimu na somo kwa wengi wa vijana wasiojua zaidi na wale wanaoona tofautiHii issues inakuwa mwalimu wa kufunza na darasa la kujifunza, tupo wengi ambao mitazamo itabadilika na wengi wetu tulio kua na mitazamo mingine juu ya mahisano na ndoa tumepata nguvu ya kukazia hoja zetu.
Wakati mwingine nature ina namna nyingi ya kufunza , na hili ni njia moja wapo ya nature iliyotumia kufunza.