Wakuu naomba msaada wenu,mke wangu kajifungua Jana kwa op tatizo ni kuwa tangu SAA 11 alipojifungua mpaka sasa mtoto hajanyonya mama anasema maziwa hamna.
Wakuu naomba msaada wenu,mke wangu kajifungua Jana kwa op tatizo ni kuwa tangu SAA 11 alipojifungua mpaka sasa mtoto hajanyonya mama anasema maziwa hamna. Nisaidieni tafadhari ndugu zangu. Mzizimkavu, Lizy