Msaada tafafhari.

Msaada tafafhari.

Scorpa

Member
Joined
Jun 23, 2019
Posts
55
Reaction score
24
Ni wiki ya pili sasa nasumbuliwa na matatizo ya fuatayo.
Maumivu ya Koo, kuhisi Kama kitu kimekwama kooni na kukakamaa kwa shingo na shingo kupata joto hasa napotoka mazoezini.
Maumivu ya joint na baadhi ya sehemu za mwili.
Miguu kuwaka Moto, vitu kutembea mwilini na vitu kuchomachoama mwilini hasa nyakati za usiku Niki nimepumzika.
Sauti ya kukwaruza.

Nimeenda hospital nikatoa maelezo nikapewa dawa pia nikachomwa sindano tano lakini bado naona hali Ni ileile.

Natumaini nitapata msaada. Ahsante.
 
Ni wiki ya pili sasa nasumbuliwa na matatizo ya fuatayo.
Maumivu ya Koo, kuhisi Kama kitu kimekwama kooni na kukakamaa kwa shingo na shingo kupata joto hasa napotoka mazoezini.
Maumivu ya joint na baadhi ya sehemu za mwili.
Miguu kuwaka Moto, vitu kutembea mwilini na vitu kuchomachoama mwilini hasa nyakati za usiku Niki nimepumzika.
Sauti ya kukwaruza.

Nimeenda hospital nikatoa maelezo nikapewa dawa pia nikachomwa sindano tano lakini bado naona hali Ni ileile.

Natumaini nitapata msaada. Ahsante.
hospitali walikwambia unasumbuliwa na nini?
 
Pole sana ndugu,endelea kupata vipimo vingine vya ziada,hakika utapona...
 
Walisema fangasi ya kwenye Koo.ndugu
 
Walisema fangasi ya kwenye Koo.ndugu
kama dawa ulimaliza vizuri pamoja na hizo sindano fanya urudi tena hiyo hospitali uwaeleze....daktari atajua tiba ya kukupa tena,

inawezekana dawa alizokupa ni generation ambayo wadudu wanaokushambulia walishaziwezea hivyo itahitajika generation nyingine ili kuvimaliza hivyo vijidudu.

kama ukienda hospitali nyingine hakikisha unaenda na dawa ulizotumia mwanzo wajue wanaanzia wapi.

usichelewe....vidudu umeshavipa shambulizi hivyo na vyenyewe vinajipanga kukushambulia zaidi.
 
Back
Top Bottom