nilivyoelewa;
x ni generation x(waliozaliwa 1965-1980)
y ni generation y(watu waliozaliwa 1981-1996)
z ni generation z(watu waliozaliwa 1997-2012)
right wing ni upande wa kisiasa unaokubali ubepari na umiliki binafsi
sasa kimantiki hiyo sentensi inamaanisha gen x na gen y wanapenda siasa za right wing kuliko gen z