JOSEPH JOEL
Member
- May 18, 2012
- 14
- 3
Usiku wa kuamkia leo nimeota mchumba wangu kachelewa kurudi nyumbani akadai ameogopa kunigongea ningempiga na akaenda kulala dukani kwani aliniaga anaenda kwenye party nikamruhusu
Baada ya muda panatokea maaskari na mgambo dukani wakidai wanamuulizia binti anaitwa Saada ambaye inasadikika alikuwa na mwanaume kutoka South Afrika kwa muda mrefu lodge ya mtaani hapo ila huyo mwanaume amekufa muda mrefu na ameoza na funza zinamtoka mwilini,
kwahiyo Serikali ikaamulu tumzikie hapo mtaani kama wana mtaa kushirikiana na uongozi wa mtaa wakati wa mazishi mchumba wangu akaubeba mwili kuelekea makaburini tukiwa njiani akuacha ili mtu mwingine ampokee lakini yule mtu akauangusha chini kutokana na harufu na funza wengi sana kwa ujasiri mchumba wangu akauchukua tena ule mwili akaubeba hadi makaburini ukazikwa
Wakati tunarudi palikuwa na ndoo ya kunawa mikono mchumba akaanza kunawa akawa anaondoka baada ya mimi kunawa nikamuona tayari ametangulia nikaanza kumkimbilia huku namuita ili tuongozane maana alikuwa anaelekea dukani tena akafika umbali wa kona ambao sikuweza kumuona nikakutana na mtu tukasalimiana tu.
Na nikashtuka usingizini.
Msaada wa tasfiri ya ndoto hii kwa wajuzi.
Baada ya muda panatokea maaskari na mgambo dukani wakidai wanamuulizia binti anaitwa Saada ambaye inasadikika alikuwa na mwanaume kutoka South Afrika kwa muda mrefu lodge ya mtaani hapo ila huyo mwanaume amekufa muda mrefu na ameoza na funza zinamtoka mwilini,
kwahiyo Serikali ikaamulu tumzikie hapo mtaani kama wana mtaa kushirikiana na uongozi wa mtaa wakati wa mazishi mchumba wangu akaubeba mwili kuelekea makaburini tukiwa njiani akuacha ili mtu mwingine ampokee lakini yule mtu akauangusha chini kutokana na harufu na funza wengi sana kwa ujasiri mchumba wangu akauchukua tena ule mwili akaubeba hadi makaburini ukazikwa
Wakati tunarudi palikuwa na ndoo ya kunawa mikono mchumba akaanza kunawa akawa anaondoka baada ya mimi kunawa nikamuona tayari ametangulia nikaanza kumkimbilia huku namuita ili tuongozane maana alikuwa anaelekea dukani tena akafika umbali wa kona ambao sikuweza kumuona nikakutana na mtu tukasalimiana tu.
Na nikashtuka usingizini.
Msaada wa tasfiri ya ndoto hii kwa wajuzi.