Ikawaje?Dah na mm imenikuta leo hii mabrazaa aisee na wamenipa hadi parcel sjui na nn!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikawaje?Dah na mm imenikuta leo hii mabrazaa aisee na wamenipa hadi parcel sjui na nn!?
1. Huo mzigo aliuagiza yeye ama ametumiwa na mtu anayemfahamu?Siyo utani ni shida ya kweli...
Kuna mtu kanifuata hapa anasema katumiwa parcel kutoka UK na imefikia Kenya
Watu wa Kenya wamemtumia sms Whatsapp wamemwambia aende akachukue mzigo wake ndani ya saa 12 akiwa na orijino copy ya ID.
Kinachomtatiza ni process za kufika hapo Uwanja wa Jomo Kenyatta anahisi muda hautoshi amejaribu kuwa-sms wampe maelekezo zaidi lakini meseji haioneshi kusomwa (hawapo online)