Msaada: Taratibu za kupokea mzigo kutoka UK kupitia Kenya ni zipi?

Wamenitumia picha za kibox kinaanuani zangu wanasema nitume pesa wanisafirishie mzigo kutoka Kenya adi TZ, nikawaambia ninandugu apo Kenya basi akachukue pale airport, wanakataa. nilikuwa nishawatambua ila nawaenjoy nione mwisho wao
 
1. Huo mzigo aliuagiza yeye ama ametumiwa na mtu anayemfahamu?

Kama mzigo umetumwa Kenya na Yeye yupo Tz, means mtumaji amekosea address lakini watu wa mamlaka hawawezi kukuharakisha kiasi hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…