Msaada: Taratibu za namna ya kujenga nyumba ya kisasa ya mbao

Msaada: Taratibu za namna ya kujenga nyumba ya kisasa ya mbao

Removers

Member
Joined
Nov 1, 2018
Posts
73
Reaction score
40
Habarini ,wakuu

Naomba msaada kwa wale wenye uzoefu/walio na ujuzi na pia waliofanikisha ujenzi wa Nyumba za mbao ,,mfano mzuri Nyumba za wenzetu wa ulaya, wanipe msaada na maelekezo juu ya mahitaji muhimu ya kuanzisha ujenzi huu, mazingira yanayofaaa kujenga..

Nimeamua nianze ujenzi huu, kutokana na hali ya uchumi, nna miti kadhaa ya mbao, hivyo nakwepa baadhi ya gharama Kama za cement (kwa ajili ya kupandisha ukuta ) na matofali...

Naombeni msaada wa mchanganuo na mahitaji yake kutoka kwenu wakuu ili niweze kuanza ujenzi huu ikiwezekana na ramani ya muonekano wa baadhi ya Nyumba Kama upo mnisaidie..

Naomba, kuwasilishaa..
 
Nyumba za mbao zinajengwa na hardwood sasa kama hiyo miti yako ni softwood nyumba yako itaoza ndani ya muda mfupi sana haijalishi hizo mbao utazitibu kiasi gani.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Adui mkubwa wa nyumba zilizojengwa kwa mbao ni mchwa na mvua. Nchi za Ulaya na Marekani, juu ya latitudes 30 kuelekea kaskazini hazina mvua zinazomiminika kama huku kwetu, aidha wadudu aina ya mchwa ni nadra sana kuishi katika mazingira hayo.

Nchi zilizo karibu zaidi na ncha ya kaskazini, ndizo zenye tunu ya kuweza kujenga nyumba za mbao na kudumu kwa miaka karibu sawa na nyumba za matofali au mawe. Naamini watalaamu wa mambo ya ujenzi wanapita humu.... utapata majibu sahihi bila shaka.
 
Asante
Adui mkubwa wa nyumba zilizojengwa kwa mbao ni mchwa na mvua. Nchi za ulaya na marekani, juu ya latitudes 30 kuelekea kaskazini hazina mvua zinazomiminika kama huku kwetu, aidha wadudu aina ya mchwa ni nadra sana kuishi katika mazingira hayo. Nchi zilizo karibu zaidi na ncha ya kaskazini, ndizo zenye tunu ya kuweza kujenga nyumba za mbao na kudumu kwa miaka karibu sawa na nyumba za matofali au mawe. Naamini watalaamu wa mambo ya ujenzi wanapita humu.... utapata majibu sahihi bila shaka.
Asante kwa ushauri kiongozi
 
Nyumba za mbao zinajengwa na hardwood sasa kama hiyo miti yako ni softwood nyumba yako itaoza ndani ya muda mfupi sana haijalishi hizo mbao utazitibu kiasi gani.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni mbao za aina gani mkuu ambazo ni hardwoo ???

mfamo mninga ni hardwood ???
 
Wewe jenga nyumba ya mbao tu mkuu mchwa wakale [emoji61]‍♀️?ikiliwa na mchwa usisingizie corona


Sent using IPhone X
 
Inawezekana ila vigezo na masharti kuzingatiwa e.g Kwa kutumia mbao ngumu (Hardwood) sababu hazina uwezo wa kuathiriwa na wadudu au mazingira, Mbao zilizotibiwa (treated) mfano kama nguzo za umeme na n.k ( kadhalika)
Habarini ,wakuu

Naomba msaada kwa wale wenye uzoefu/walio na ujuzi na pia waliofanikisha ujenzi wa Nyumba za mbao ,,mfano mzuri Nyumba za wenzetu wa ulaya ,,wanipe msaada na maelekezo juu ya mahitaji muhimu ya kuamzisha ujenzi huu ,, mazingira yanayofaaa kujenga ..

Nmeamua nianze ujenzi huu ,kutokana na hali ya uchumi ,nna miti kadhaa ya mbao ,hvyo nakwepa baadhi ya gharama Kama za cement (kwa ajili ya kupandisha ukuta ) na matofali ...

Naombeni msaada wa mchanganuo na mahitaji yake kutoka kwenu ,wakuu ili niweze kuanza ujenzi huu .ikiwezekana na ramani ya muonekano wa baadhi ya Nyumba Kama upo mnisaidie ..

Naomba ,kuwasilishaa ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana ila vigezo na masharti kuzingatiwa e.g Kwa kutumia mbao ngumu (Hardwood) sababu hazina uwezo wa kuathiriwa na wadudu au mazingira, Mbao zilizotibiwa (treated) mfano kama nguzo za umeme na n.k ( kadhalika)

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kaka kwa ushauri ,, japo hili suala linaknekana ni geni lakini baadh ya watu wamejengaa ,,japo sina taarifaa za kutosha hvyo na mm ntka nkusanye taarifa ili nipapnge mikakati
 
Ukitaka kujihakikishia nenda Chuo cha Misitu Olmotonyi Arusha kuna nyumba za mfano nadhani za tangu miaka ya 1937. Inawezekana labda Gharama ziwe kubwa. Fanya Cost Analysis then utapata majibu kamili.
Asante kaka kwa ushauri ,, japo hili suala linaknekana ni geni lakini baadh ya watu wamejengaa ,,japo sina taarifaa za kutosha hvyo na mm ntka nkusanye taarifa ili nipapnge mikakati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom