future mind
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 221
- 229
Wakuu natumaini mu wasima...niwape pole sana ndugu zangu waliopotelewa na jamaa zao katika ajali ya MV Nyerere poleni sana mungu awajalie nguvu ya uvumilivu katika kipindi ichi kigumu.
Bila kupoteza mda niende moja kwa moja kwenye mada kama nilivyoeleza hapo juu hivi majuzi nimekuwa nikiumia sana kuona rafiki yangu akiteseka na maumivu makali nimekuwa nikiwaza ni jinsi gani yakumsadia nashindwa kujua nianzie wapi ili kumsaidia hili tatizo limeanza kuwa serious kwake hivi majuzi huu ni mwezi wa nne sasa akiteseka na maumivu alienda hospital nakufanyiwa ultrasound ikaonekana kuna tatizo la damu imeviria tumboni.
Chakushangaza zaidi pia mguu umekuwa ukimuuma sana mguu wa upande ule ule ambapo tumboni kuna tatizo ambalo vipimo vinaonyesha ni karibu na nyonga.
Hospital walimwandikia dawa zakumeza yaani vidonge vyakutumia kwa kipindi cha miezi mitatu hadi sasa anamalizia mwezi wa pili ila anasema haoni nafuu yoyote maumivu ni yale yale yaani akitembea tu kidgo anapata maumivu pia akikaa kwa mda pia anasikia paja linamuuma, naona kama anapoteza matumaini.
Msaada wenu wakuu wa mawazo ushauri ni nini afanye maana pia anasema ataki kwenda tena hospital, naomba kama kuna mtu amewai kusikia tatizo kama ili au anajua tiba yake ..pia ushauri wenu wataalam ni humu sana.
NB: ajawai kupata ajali na wala kupigwa maeneo hapo ya tumbo.
~Asanteni na mungu awabariki sana,~
Bila kupoteza mda niende moja kwa moja kwenye mada kama nilivyoeleza hapo juu hivi majuzi nimekuwa nikiumia sana kuona rafiki yangu akiteseka na maumivu makali nimekuwa nikiwaza ni jinsi gani yakumsadia nashindwa kujua nianzie wapi ili kumsaidia hili tatizo limeanza kuwa serious kwake hivi majuzi huu ni mwezi wa nne sasa akiteseka na maumivu alienda hospital nakufanyiwa ultrasound ikaonekana kuna tatizo la damu imeviria tumboni.
Chakushangaza zaidi pia mguu umekuwa ukimuuma sana mguu wa upande ule ule ambapo tumboni kuna tatizo ambalo vipimo vinaonyesha ni karibu na nyonga.
Hospital walimwandikia dawa zakumeza yaani vidonge vyakutumia kwa kipindi cha miezi mitatu hadi sasa anamalizia mwezi wa pili ila anasema haoni nafuu yoyote maumivu ni yale yale yaani akitembea tu kidgo anapata maumivu pia akikaa kwa mda pia anasikia paja linamuuma, naona kama anapoteza matumaini.
Msaada wenu wakuu wa mawazo ushauri ni nini afanye maana pia anasema ataki kwenda tena hospital, naomba kama kuna mtu amewai kusikia tatizo kama ili au anajua tiba yake ..pia ushauri wenu wataalam ni humu sana.
NB: ajawai kupata ajali na wala kupigwa maeneo hapo ya tumbo.
~Asanteni na mungu awabariki sana,~