Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Umenishawishi kwenye stress of course Nina stress sana kipindi hiki.Inawezekana una stress hizo zinaleta hormonal inbalance na digestion kuwa faster.
Ndo upi uoUtakuwa una ugonjwa wa SUDANESE EPIDEMIC
Ndio ni za kiofisi Ila mda mwingi nakuwa site ofisi tunakaa mda kidogoKazi za kiprofessional zipi hizo?, umemaanisha za ofisini au maana sijakusoma vyema
Dah ngoja nijaribu ushauri wako maana stress ninazo kweli this time aroundna mm niliwah kuwa kama wewe ! nikaenda hosp no minyoo! nikaonekana nna stress... lol
Ahsante
Dah ngoja nijaribu ushauri wako maana stress ninazo kweli this time around
Jaribu kush,ndo dawa pekee ya usingizi,ukishatupia hiyo kitu hata juu ya mti unalala usingizi fofofopole... ilifikiakipindi hta kulala silali kbs nakosa usingz... insomnia..
Inawezekana una stress hizo zinaleta hormonal inbalance na digestion kuwa faster.
Mkuu usinipandishe mimi sio dr.Sawa Dr.
Mkuu usinipandishe mimi sio dr.
shukrani mkuu.Mkuu ujue nakufuatilia muda sasa. Ushauri wako mwingi kuhusu masuala ya afya yananifanya niamini wewe ni Daktari. Maana unatoa michango mingi inayosaidia watu wengi wenye matatizo ya afya hapa JF. Kama wewe sio Daktari hakuna kilicho haribika.