Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Mwenzenu nina tatizo la kula sana siku hizi hata sijui kwanini mwanaume nakula robo tatu ya kilo mlo mmoja na najikuta napata njaa baada ya mda mfupi .
Kazi zangu ni za kiproffessional ila zina sereka kiasi. Nimepima minyoo sina
Kazi zangu ni za kiproffessional ila zina sereka kiasi. Nimepima minyoo sina