Pole Kaka. Kama walivyoandika wengine bado hajabainisha kuwa ni tatizo. Jaribu kusoma mzunguko wa mkeo ili mfanye timining ya yai lake kupevuka na mtapata mototo. Endeleeni kufurahia mapenzi na Mshirikisheni Mwenyezi Mungu Pia. Kuna watu wamesha subiri kama zaidi ya miaka 5. Ukiweza waweza kumwona daktari kama walivyo shauri wengine.
habari wanajukwaa,ninatatizo,ni mwezi wa nne sasa najaribu kumpa mke wangu mimba bila mafanikio,cku zake za mwez ni 28 ila kuna wakati zinabadilika na kuwa 32,cjui nifanyeje
habari wanajukwaa,ninatatizo,ni mwezi wa nne sasa najaribu kumpa mke wangu mimba bila mafanikio,cku zake za mwez ni 28 ila kuna wakati zinabadilika na kuwa 32,cjui nifanyeje
Tatizo liko kwako mbengu zako hazina virutubisho, tumia hivi vitu kwa muda wa miezi 2 bila kushiriki tendo la ndoa. karanga, mboga za majani, kahawa, na asali ili mbegu zipate virutubisho.
mchukue mke wako mpeleke kwa MCHUNGUZI HURU