Msaada Tatizo la macho

olele

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2010
Posts
1,305
Reaction score
1,572
Salam wakuu, nianze kwa kuwashukuru wataalamu wote wanaochangia humu jamvini, tatizo langu ni hili, kpnd cha kma miezi 2 niltumia mashne mja hv yenye mwnga mkali ss hv macho yangu yanauma nikiona mwanga au kitu cheupe, au nikitumia comp au tv.
Je ni tatzo la muda tu au ni la kudum? Na je suluhsho nn? Naweza kuepuka kuvaa mawani? Naombeni msaada kwa maana ishu za macho ni nyeti..
 
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]
Pole kwa hayo matatizo ya Macho. Jaribu dawa yangu hii
Pakaa mafuta ya Habbat-Sawdaa (Nigella seed oil) sehemu za panda kandokando ya macho na kope, fanya hivyo kabla ya kulala pamoja na kunywa matone kadhaa ya mafuta hayo ya Habbat-Sawdaa (Nigella seed oil) katika kinywaji chochote cha moto au katika juisi ya karoti Ishallah utapona.



[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Pamoja na kukupa pole na kutumia habbat swauda nakushauri kapime macho yako sijui uko wapi kama ni kule DSM CCBRT waweza kugundua kama ni temporary or parmanent disorder na kama ulivyosema macho ni ishu nyeti ....utakuo husomi pole za feis buku oohooo
 

yanapatikana wapi hayo mafuta?
 
Tatizo lako linaweza kuwa linatokana na kazi yako. Kwa sasa wakati unatafuta matibabu,jaribu kuepuka huo mwanga.kama ni lazima,basi hakikisha unatumia kinga ya macho tahadhari:sio miwano za jua.kuna maduka maalum wanauza kama 'safety gears',chukua 'welding goggles'.jioni kabla ya kulala hakikisha una-flush macho yako kwa maji mengi. Kwa msaada wa haki yako juu ya hili unaweza kuni-pm tuone cha kufanya
 

uko ryt kabsa ila nko moro, kwani siwezi kugundua hlo tatzo mpaka ccbrt, a mean kwnye hosp nyngne.
Coz clnic za mcho nyngi tu bt naona kma ni wauza miwani tu.
,
 
Hayo mafuta inaonyesha ni kiboko ya njia.. Yana kazi nyingine tofauti na macho ama....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…