olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,305
- 1,572
Salam wakuu, nianze kwa kuwashukuru wataalamu wote wanaochangia humu jamvini, tatizo langu ni hili, kpnd cha kma miezi 2 niltumia mashne mja hv yenye mwnga mkali ss hv macho yangu yanauma nikiona mwanga au kitu cheupe, au nikitumia comp au tv.
Je ni tatzo la muda tu au ni la kudum? Na je suluhsho nn? Naweza kuepuka kuvaa mawani? Naombeni msaada kwa maana ishu za macho ni nyeti..
Je ni tatzo la muda tu au ni la kudum? Na je suluhsho nn? Naweza kuepuka kuvaa mawani? Naombeni msaada kwa maana ishu za macho ni nyeti..