Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Nataka kujua tibaWe nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka kujua tibaWe nae
Nakushauri usitumie dawa ya minyoo kabla ya kupima choo(siyo jengo), pia sabuni haiwezi kutatua tatizo lako. Mwisho JF siyo sehemu sahihi kutatua tatizo lako kwani kilichoniponya mimi si lazima kitakuponya wewe, nenda hospitali ya serikali kapime.Habari ndugu zangu!!
Ngoja niingie kwenye maada moja kwa moja, kwa muda sasa nimekuwa nikiwashwa sana sehem ya haja kubwa. Nimejaribu kutumia sabun tofaut lakn wapi, nmetumia dawa za minyoo nazo nkizan ni pinworms lakin bado tatizo halijaondoka, naomba mwenye kujua tiba sahihi ya tatizo hili aweze kunisaidia, na kusaidia wengine wenye tatizo kama hili.
Asanten Ndugu zangu, wote mtakao onyesha ushirikiano kwenye hili. [emoji120]
Usitumie nguvu wakt wakutawaza,kingine nyoa nywele za hukoHabari ndugu zangu!!
Ngoja niingie kwenye maada moja kwa moja, kwa muda sasa nimekuwa nikiwashwa sana sehem ya haja kubwa. Nimejaribu kutumia sabun tofaut lakn wapi, nmetumia dawa za minyoo nazo nkizan ni pinworms lakin bado tatizo halijaondoka, naomba mwenye kujua tiba sahihi ya tatizo hili aweze kunisaidia, na kusaidia wengine wenye tatizo kama hili.
Asanten Ndugu zangu, wote mtakao onyesha ushirikiano kwenye hili. [emoji120]
Zile nywele zina kazi yakeUsitumie nguvu wakt wakutawaza,kingine nyoa nywere za huko
Nunua Konyaji au Gin yoyote utawazie. Pia tafuta dropper zenye mpira, fyonza kiasi kidogo cha pombe (1 ml) kisha kizamishe kidogo halafu achilia pombe iingie huko.Habari ndugu zangu!!
Ngoja niingie kwenye maada moja kwa moja, kwa muda sasa nimekuwa nikiwashwa sana sehem ya haja kubwa. Nimejaribu kutumia sabun tofaut lakn wapi, nmetumia dawa za minyoo nazo nkizan ni pinworms lakin bado tatizo halijaondoka, naomba mwenye kujua tiba sahihi ya tatizo hili aweze kunisaidia, na kusaidia wengine wenye tatizo kama hili.
Asanten Ndugu zangu, wote mtakao onyesha ushirikiano kwenye hili. [emoji120]
Pole sana ngoja madaktari waje wakupe tiba
Ndio madaktari waliopo jf, waje kumpa mwongozoMadaktari tena?
Ukiwa na maradhi yapaswa zinyoleweZile nywele zina kazi yake
Ooh kumbeUkiwa na maradhi yapaswa zinyolewe
YesOoh kumbe
Sawa daktari